Mr. Hillary Mrosso
Founder & Chief Editor
Karibu sana Wildlife Tanzania!
Tunafurahi kukupa fursa ya kujiunga nasi katika safari hii ya kuvumbua na kuelewa zaidi kuhusu maliasili na hifadhi za taifa za Tanzania. Blog yetu inalenga kutoa elimu na maarifa muhimu yanayohusu uhifadhi wa wanyamapori, utalii, na jinsi jamii inavyoweza kunufaika na uwepo wa wanyamapori katika maeneo yao. Tunakualika kujifunza kwa njia rahisi ili kila Mtanzania na mtu mwingine yeyote aweze kuelewa misingi na manufaa ya hifadhi za Taifa na kushiriki kikamilifu katika uhifadhi wa mazingira na maliasili zetu. Kupitia blog yetu, utapata taarifa za thamani zitakazokusaidia kufanya maamuzi sahihi kuhusu maeneo ya uhifadhi na usimamizi wa maliasili. Tunajenga tabia za kizalendo kwa watanzania ili tushiriki kikamilifu katika utalii wa ndani na kuwa walinzi wa maliasili zetu. Kwa wanafunzi na wote wenye ndoto ya kufanya kazi kwenye sekta ya maliasili au kuanzisha biashara za utalii, blog yetu ni rasilimali muhimu ya kukupa mwongozo. Kupitia machapisho yetu, utapata fursa za pekee zinazopatikana kwenye hifadhi zetu na maeneo mengine yenye mvuto kwa watalii. Tunakukaribisha kuwa sehemu ya jamii hii inayopenda maliasili na inayotaka kujenga na kuendeleza urithi wetu kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Ni wajibu wetu kushirikiana katika kuweka misingi imara kwa ajili ya kizazi kijacho. Karibu tena, Mtanzania mwenzangu! Twende pamoja katika kuchunguza, kujifunza, na kushirikiana kwa pamoja katika kulinda maliasili zetu. Asante kwa kujiunga nasi!
Habari za Wanyamapori na Uhifadhi
Makala Mpya
Siku ya wafanyakazi duniani
Leo ni siku ya wafanyakazi duniani. Tunajua umuhimu wa kazi kwenye maisha yetu. Bila kazi masiaha hayana maana, bila kazi hatuwezi kufikia malengo yetu. Bila kazi hakuna
Ushirikiano Baina ya Viumbe wa Mbugani
Kwa kawida wengi hudhani kwamba wanyama wa mwituni wote ni maadui. Lakini leo ningependa nikufahamishe kuwa si wote ni maadui, wapo wanyama ambao hushirikiana kwa pamoja licha ya tofauti zao za kibaiolojia, au hata aina
Kila Kitu Unachopaswa Kujua Kuhusu Reptilia
Katika makala zilizopita nilijikita sana katika kuelezea kundi la wanyama jamii ya swala na kwa uchache ndege. Makala ya leo napenda kutambulisha mfululizo wa kundi lingine la wanyama ambao wanajulikana kama REPTILIA (watambaaji).
Makala hii itazungumzia
Athari za Kugawanyika kwa Mazingira ya Asili Katika Uhifadhi wa Wanyamapori
Mpendwa msomaji wa makala hizi za wanyamapori karibu katika makala hii inayohusu kugawanyika kwa mazingira ya asili yaan Habitat Fragmentation. Neno mazingira ya asili maana yake ni ardhi ambayo inahifadhi aina mbalimbali za mineo,
Picha la Kutisha; Chakula Kilichokawia Mbugani
Siku moja jioni niliingia katika mtandao wa X (Twitter) na kuona hii picha kwenye ukurasa wa mtu mmoja, simkumbuki tena jina, yule aliyeposti hii picha alijharibu kuweka
Siku Ya Chura Duniani; Mazuri Yasiyosemwa Kuhusu Viumbe Hawa
Unajua watu wakitaka kukuua au kukuchukia watakupa jina baya, watakusingizia mambo mengi mabaya ili mradi tu watengeneze ubaya juu yako. Mitazamo ya watu juu yako itaanza kubadilika nao watakuona wewe ni mbaya na hufai na
Mifano ya Wanyamapori Watano (5) Waliotoweka Duniani na Waliopo Hatarini Kutoweka
Mpendwa msomaji wa Makala za wanyamapori. Karibu katika Makala ya mifano mitano, Makala hii itatumia mifano kutufunza masuala anuani hususani juu kutoweka kwa wanyama na wanyama walio katika hatari ya kutoweka.
Awali ya yote tufahamu nini
Siku ya Wanawake Duniani, Nafasi ya Wanawake Kwenye Uhifadhi wa Maliasili
Heri ya siku ya wanawake duniani kwa wanawake wenzangu wote,
Leo ni tarehe 8 machi mwaka 2024, ni siku ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani, ambazo ni sherehe
Siku ya Wanyamapori Duniani; Tuwe Sehemu Muhimu ya Viumbe Wengine Kuishi
Taarifa kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linalojihusisha na Mazingira (UNEP) pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa linalojihusisha na Uhifadhi wa Maliasili (IUCN), zinaonyesha
Somo la Vipande 12 vya Nyama ya Swala na Sheria za Uhifadhi
Picha ni Maria Ngoda akitoka mahakamani baada ya kuachiwa huru
Moja ya kesi iliyotikisa mkoa wa Iringa na Tanzania kwa ujumla ni kesi ya mama Maria Ngoda,
Siku ya Kakakuona Duniani; Ujumbe Muhimu kwa Jamii
Kakakuona wa ardhini (Temminck’s ground Pangolin) akitembea, utaona akiinua miguu ya mbele akiwa anatembea. Picha kutoka mtandaoni
Kila tarehe 17 Februari, dunia inashangilia siku ya kakakuona duniani.
Mila na Desturi za Kabila la Wahaya Zinavyochangia Katika Uhifadhi wa Wanyamapori na Mazingira Yao
Historia ya uhifadhi wa wanyamapori na mazingira yake imeandikwa sana kuanzia kipindi cha ukoloni ambapo Tanganyika ilikuwa ikitawaliwa na mjerumani na baadaye mwingereza. Katika kipindi hiki ndipo sheria za uhifadhi zilianza kutungwa kwa lengo la
Taaluma ya Udakitari wa Wanyamapori Ilivyo Muhimu Kwenye Uhifadhi
Miaka ya hivi karibuni milipuko ya magonjwa yanayotokana na wanyamapori imekua ikiongezeka kwa kasi, Magonjwa haya yamekua yakiathiri wanyamapori pamoja na binadamu. Wanyamapori wengi wapo hatarini kutoweka kwa sababu mbalimbali kama vile uharibifu wa mazingira,
Kheri ya Mwaka Mpya 2024 Wasomaji wa Wildlife Tanzania
Habari ndugu wasomaji wa makala za blogu yetu ya WILDLIFE TANZANIA.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru kwa kuwa wasomaji wazuri wa makala zetu tunazoandika kuhusu wanyamapori, mazingira, uhifadhi na utalii.
Mara zote mmekuwa mkitupa nguvu na
Spishi za Kakakuona wa Tanzania, na Mengi Usiyoyajua kuhusu Wanyama Hawa
Dunia imebarikiwa kuwa na wanyama na ndege wa aina nyingi, kuna warefu kama twiga, wanene kama kiboko, wakubwa kama tembo na nyangumi, wadogo kama sungura, wenye mbio kama duma, wajanja kama fisi, walio hodari na
Sauti ya Dhiki Kutoka Mbugani
Ukiwa eneo la Ruaha kusikia sauti nzuri za ndege, fisi, nyani, simba, tembo na wanyama wengine ni jambo la kawaida sana. Pia sio jambo la kushangaa kusikia sauti za viboko wakicheza na kufurahia maji ya
Mimea Vamizi Tishio kubwa Katika Maeneo ya Hifadhi za Wanyamapori
Habari mpendwa msomaji wa Makala za wanyamapori, karibu katika Makala ya leo inayohusu mimea vamizi katika hifadhi za nchini Tanzania. Taarifa mbalimbali zimeonesha kuna aina tofauti za mimea vamizi katika hifadhi za nchini
Mfahamu Nyuki Na Umuhimu Wake Kiuchumi na Kiikolojia
UTANGULIZI
Nyuki ni wadudu wadogo wanaosifika kwa uchevushaji wa maua katika mimea mbalimbali na hivyo kuchangia katika
Kilio Kisichoisha Ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
Nilikuwa nasafiri kwenda Iringa, kupitia barabara inayokatisha katika hifadhi ya Taifa ya Mikumi, tulipokuwa tunaingia hifadhi ya Taifa ya Mikumi ilibidi nigeuke upande wa dirishani
Zifahamu Tabia za Spishi za Ndege Wanaohama Kutoka Nchi Moja Kwenda Nchi Nyingine
Utangulizi.
Tanzania imebarikiwa kuwa na mazingira tofauti tofauti ambayo kwa ujumla wake imewezesha nchi yetu kuwa na zaidi ya spishi 1100 za
Sababu Tisa (9) za Kushamiri kwa Ujangili na Biashara Haramu za Wanyamapori Kusini mwa Jangwa la Sahara
Uhifadhi wa wanyamapori una faida nyingi kuliko hasara wanazosababisha wanyamapori. Uwepo wa wanyamapori katika maeneo yao unaleta faida nyingi za kimazingira, kiuchumi, kitamaduni na kijamii. Endapo wanyamapori wataendelea kuwepo kwenye maeneo yao ya
Zijue Sababu Zinazochangia Binadamu Kuzoesha/Kuzoeana na Wanyamapori (Wildlife Habituation)
Utangulizi
Kuzoesha wanyamapori ni kitendo ambacho kinafanywa kwa kudhamiria au kutokudhamiria ili kuhakikisha kwamba wanyamapori wanakuwa karibu na binadamu. Kitendo hicho kinaweza kufanyika kwa Wanyama na ndege pia. Zipo sababu
Magonjwa Manne Hatari Zaidi kwa Watumiaji wa Nyamapori
- Utangulizi wa mwandishi;
Mwandishi wa Makala hii ni mtafiti mzoefu kwenye masuala yanayohusiana na mazingira, wanyamapori na binadamu kwa zaidi ya miaka kumi na
Yajue Magonjwa Ambayo Binadamu Anaweza Kuyapata Kutoka kwa Wanyamapori
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la matumizi ya wanyamapori ikiwa kama vile kitoweo, urembo, maonyesho, mavazi na dawa za kienyeji. Vile vile wanyamapori wamekuwa wanatumika katika masuala mazima ya