WILDLIFE TANZANIA

Date:

Share post:

Habari rafiki yangu, tumepotezana kwa siku nyingi sana, lakini naamini bado unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Leo baada ya kupotea kutokana na changamoto ambayo ilikuwa nje ya uwezo wangu, nimejitahidi kwa kadri ya uwezo wangu, pia namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa tena nafasi ya kuendelea kuwa pamoja.

Computer yangu ambayo huwa natumia kuandika makala na barua mbali mbali za uhifadhi ilipata changamoto kidogo, hivyo nikaamua kutafuta nyingine ili tuendeleze kazi yetu ya kutoa maarifa ya maliasili zetu na utalii.

Bado kuna mengi ya kufahamu na kujuzana kuhusu maliasili zetu, hivyo usichoke wala kusita kuendelea kujifunza na kufahamu mengi zaidi kuhusu maliasili na utajiri wa Tanzania yetu.

Nakukaribisha, karibu tuendelee kuwa pamoja, kujifunza na kufahamu mengi zaidi.

Ahasante sana!

Hillary Mrosso!

0683 862 481

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...