More

    Ikolojia

    Mchango wa Ardhi Oevu ya Usangu katika Hifadhi ya Taifa Ruaha na Maendeleo ya Nchi

    Ardhi oevu ni eneo lenye uwazi mkubwa wenye maji mengi yatokayo katika vyanzo mbalimbali kama vile mito, vijito, mifereji na mitaro ambayo huweza kuwa...

    Tushiriki Kupiga Vita Uchomaji Holela Wa Moto Kwenye Maeneo Ya Hifadhi Za Wanyamapori Na Misitu.

    Baada ya ugunduzi wa moto, maisha ya binadamu yalibadilika kwa kiasi kikubwa, uzalishaji uliongezeka, ulinzi dhidi ya maadui zake uliimarika, afya iliimarika zaidi na...

    Mambo Usiyoyajua Kuhusu Tofauti Zilizopo Kati Ya Nyoka Aina Ya Cobra(Fira/Swila) Na Black Mamba(Koboko)

    1. UTANGULIZI Katika bara la Africa kuna nyoka wa aina nyingi sana kwa makundi yao. Lakini leo natamani tuangazie kidogo kuhusu aina hizi mbili za...

    ZIFAHAMU SABABU ZINAZOHATARISHA MAISHA YA PAPA-POTWE WA KISIWA CHA MAFIA

    Kisiwa cha Mafia kinachopatikana Tanzania ni miongoni mwa visiwa maarufu sana duniani. Kisiwa hiki chenye ukubwa wa kilometa za mraba 435, kimekuwa maarufu sio...

    Fahamu Mengi Kuhusu Swala Aliye Hatarini Zaidi Kutoweka Tanzania.

    Ni siku nyingine tena wasomaji na wadau wa makala hizi za wanyuamapori bila kuwasahau wahifadhi na mamlaka zote za uhifadhi wa wanyamapori hapa nchini....

    Yafahamu Mambo Nyeti Kuhusu Maisha Ya Mnyama Simba

    Habari wadau wa makala hizi za wanyamapori, jamii na wahifadhi kwa ujumla. Kwa mara nyingine tena leo nawaletea makala kuhusu wanyamapori kama ilivyo ada...

    Yafahamu Mambo Ya Kushangaza Kuhusu Mamba (Nile Crocodile)

    Habari za siku nyingi ndugu msomaji wa makala hizi za wanyamapori. Ni muda mrefu kidogo sasa umepita tangu nitume Makala kwa mara ya mwisho...

    Fahamu Kwanini Uhifadhi ni Jukumu Takatifu la Kila Mwanadamu Hapa Duniani

    Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Baadaye Mungu aliendelea kuumba vitu vingine ikiwemo wanyama wa mwituni kwa jinsi yake na wanyama wa kufugwa...

    Umuhimu wa Vichuguu Katika Mifumo Mbalimbali ya Ikolojia ya Uhifadhi wa Wanyamapori.

    Mchwa ni jamii ya wadudu ambao huishi kwa kujenga viota ardhini, kwenye miti, kuta za nyumba na magogo ya miti. Mchwa ni wadudu ambao...

    Latest articles