More

    Ikolojia

    Mambo Ya Kushangaza Usiyoyajua Kuhusu Mnyama Aina Ya Fisimaji

    Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na bioanuai za aina mbalimbali kama vile mimea na wanyama . Miongoni mwa makundi ya wanyama ambayo nchi yetu imeweza...

    Fahamu Maajabu Ya Kiumbe Wa Baharini Aitwae Kasa

    Joto limekuwa likiathiri vitu vingi Ulimwenguni ikiwemo jinsia za viumbe vya aina mbalimbali kama vile  watoto wa Mamba, Kasa, Samaki na baadhi ya Mijusi....

    Yajue Mengi ya Hifadhi ya Tarangire

    Utalii wa kutembelea hifadhi mbalimbali Duniani ni njia pekee ya kuzitambulisha na kuwa moja ya njia kuu za ongezeko la pato la taifa husika....

    Fahamu Jinsi Tembo Wanavyoweza Kuwasiliana

    Mpendwa msomaji wa Makala mbalimbali  za wanyapori, utalii na mazingira , awali ya yote namshukuru mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na kutuwezasha kuandaa Makala...

    Ijue Siri Na Vita Za Wanyamapori Wanaokula Nyama

    Mara nyingi kumekuwa na taarifa ambazo tunazipokea kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu maisha ya wanyamapori hususani wanyama wanaokua nyama. Miongoni mwa taarifa hizo zinaweza...

    Je Unamfahamu Mnyama Ambaye Ni Mhandisi Wa Mifumo Ya Kiikolojia?

    Huyu ni mnyama aina ya tembo ambaye kwa historia fupi ndiye mnyama mkubwa kuliko wote ambao wanaishi nchi kavu. Kuna aina tatu za Tembo...

    Ujue Umuhimu Wa Tumbusi Katika Ikolojia.

    Tumbusi ni ndege mkubwa ambaye anavumbua na kula mizoga iliyoachwa na wanyama wanaowinda kama simba, Chui na duma, ni ndege mwenye mnasaba na Tai...

    Mambo Haya Ndio Yanafanya Binadamu Awe Hatarini Zaidi Kutoweka Katika Uso Wa Dunia.

    Je! Wajua, binadamu yupo hatarini kutoweka kuliko hata faru? Katika kipindi hiki kigumu cha tukio kubwa la sita la utowekaji wa viumbe (sixth mass...

    Mambo Haya Ndio Yanafanya Binadamu Awe Hatarini Zaidi Kutoweka Katika Uso Wa Dunia.

    Je! Wajua, binadamu yupo hatarini kutoweka kuliko hata faru? Katika kipindi hiki kigumu cha tukio kubwa la sita la utowekaji wa viumbe (sixth mass...

    Latest articles