Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Ujangili kwa Wnaymapori ni Dhuluma, Uporaji na Ukatili kwa Vizazi Vijavyo

Unaweza kuwa unajiuliza kwanini nakazana kuandika makala kuhusu matumizi ya wanyamapori na ujangili. Jibu ni kwamba, ni eneo ambalo nimelifuatilia na kusoma maandiko mengi...

Nyamapori Bado ni Sehemu Muhimu ya Mlo wa Jamii Nyingi za Watu Zinazoishi Karibu na Maeneo ya Hifadhi za Wanyamapori

Matumizi makubwa ya nyamapori yamesababisha kutoweka kwa idadi kubwa ya spishi za wanyama na mimea. Maeneo mengi yaliyo na rasilimali za wanyamapori yanakabiliwa na...

Zijue Jamii Mbalimbali za Popo, Tabia, Maisha Yao na Umuhimu Wake Katika Uhifadhi

Popo ni wanyama aina ya mamalia wenye damu moto, miili iliyofunikwa na nywele, wanaozaa na kunyonyesha watoto wao kwa kutumia viwele vyao.  Kibaolojia, popo...

Unajua Nini Kuhusu Mamba? Haya ni Mambo Usiyoyajua kabisa kuhusu Mnyama Mamba

Mamba ni wanyama wakubwa wa spishi ya reptilia, wanaopatikana zaidi maeneo mengi ya kitropiki ya bara la Afrika, Asia, Amerika na Australia. Spishi hii...

Yajue Maajabu Ya Ziwa Ngozi Nchini Tanzania

Ziwa Ngosi  ni miongoni mwa vivutio vinavyopatikana nchini Tanzania. Ziwa hili  ni la pili kwa ukubwa kati ya maziwa ya kreta barani Afrika baada...

Mazuri Usiyoyajua Kuhusu Aina Kumi na Nne (14) za Bundi Waliopo Tanzania na Umuhimu Wake Katika Uhifadhi

Bundi ni ndege wanaopatikana kwenye oda ya Strigifomi, ambayo inajumuisha Zaidi ya spishi 200 za bundi duniani. Ndege hawa huonekana zaidi wakati wa usiku,...
spot_img