Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Fahamu Upekee Wa Samaki Kampango Anaepatika Ziwa Nyasa.

Ziwa nyasa  ni miongoni mwa maziwa matatu makubwa yanayopatikana  Kusini mwa Afrika na Afrika Mashariki, neno nyasa limetokana na lugha ya chichewa (malawi) ikiwa...

Tabia Kumi (10) Za Tembo Zinazofanana Na Tabia Za Binadamu

Binadamu ni kiumbe mwenye sifa za kipekee ukilinganisha na viumbe wengine. Kibaiologia binadamu yaani spishi ya Homo sapiensi imekaribiana sana na wanyama jamii ya...

Yajue Maeno Yenye Urith Wa Kidunia Yanayopatikana Tanzania

Kheri ya mwaka mpya 2021, mpendwa msomaji wa blog yetu! Naamini umzima na unaendelea vyema na majukumu mbalimbali ya kujikwamua kimaisha. Karibu tena tujifunze...

Mfahamu Ndege Mvivu Na Asiyependa Kujishughulisha.

Mpenzi msomaji wa  makala zetu tunashukuru kwa kutenga muda wako na kusoma makala mbalimbali  ambazo zinachapishwa katika blog yetu ya http://wildlifetanzania.home.blog  . Kwa ufupi...

Sababu na Athari za Watu Kushiriki Uwindaji Haramu “Ujangili”.

Ujangili ni uwindaji haramu unaohusisha tendo la kuwinda wanyama, kukamata au kuua wanyama unaofanywa bila kibali au kinyume cha sheria za nchi husika. Ujangili...

Zijue Sifa Za Wanyama Jamii Ya Swala

Duniani kuna wanyama jamii ya swala aina 90 ambapo bara la Afrika peke zipo jamii 71. Swala wanapatikana marneo mbali mbali duniani ikiwemo Africa...
spot_img