Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Ujue Umuhimu Wa Tumbusi Katika Ikolojia.

Tumbusi ni ndege mkubwa ambaye anavumbua na kula mizoga iliyoachwa na wanyama wanaowinda kama simba, Chui na duma, ni ndege mwenye mnasaba na Tai...

Mambo Haya Ndio Yanafanya Binadamu Awe Hatarini Zaidi Kutoweka Katika Uso Wa Dunia.

Je! Wajua, binadamu yupo hatarini kutoweka kuliko hata faru? Katika kipindi hiki kigumu cha tukio kubwa la sita la utowekaji wa viumbe (sixth mass...

Mambo Haya Ndio Yanafanya Binadamu Awe Hatarini Zaidi Kutoweka Katika Uso Wa Dunia.

Je! Wajua, binadamu yupo hatarini kutoweka kuliko hata faru? Katika kipindi hiki kigumu cha tukio kubwa la sita la utowekaji wa viumbe (sixth mass...

Mfahamu Kimulimuli Mdudu Wa Kushangaza Aliyehatarini Kutoweka

Sote katika hatua moja ya kukua tumewahi kujiuliza na kuwastaajabia viumbe ambao wanawaka taa Usiku. Kimulimuli ni jina la kiswahili la mdudu mdogo mwenye ukubwa...

Mjue Nyegere Mnyama Jasiri, Aliyejaa Wivu, Mbishi, Na Mwenye Upendo Wa Ajabu

Nyegere jina lake la kingereza anaitwa “Honey badger” na jina lake la kisayansi anajulikana kama “Mellivora capensis” Nyegere ni mnyama anayepatikana kusini mwa Asia, Iran...

Zijue Hifadhi Za Taifa Kusini Mwa Tanzania, Fursa Zilizopo Na Changamoto Zinazochangia Ukuaji Mdogo Wa Sekta Ya Utalii Katika Ukanda Huu.

Habari mpendwa msomaji wetu wa darasa huru la makala zetu za wanyamapori na uhifadhi kwa ujumla, ni matumaini yangu umzima na bukheri wa afya...
spot_img