Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

SHAIRI: TUJIJENGEE TABIA YA KUFANYA UTALII

Habari ndugu msomaji wa makala za mtandao huu wa makala za wanyamapori, nakukaribisha leo kwenye aina nyingine ya uandishi wa makala zetu kuhusu maliasili,...

BARUA Ya 1- Hodi hodi Utalii

Habari za siku nyingi ndugu msomaji wa makala za wanyamapori na maliasili, siku za hivi karibuni nilipokea barua nzuri sana kutoka kwa rafiki yangu...

Mfahamu Ndege Karani Tamba, Tabia zake, Sifa Zake, Historia Ya Jina Lake, Uhifadhi Na Changamoto Zinazotishia Kutoweka Kwa Ndege Huyu Wa Ajabu.

Habari za siku kidogo ndugu zangu kwani tumepotezana kidogo katika kujuzana machache kuhusu wanyamapori. Hii ni kutokana na changamoto zilizo nje ya uwezo wangu...

Uwepo Wa Masoko Ya Meno Ya Tembo Kwenye Baadhi Ya Nchi Za Afirika Kulivyochangia Kushamiri Kwa Ujangili Wa Tembo.

Kuna masoko ya aina mbili ya meno ya tembo, kuna masoko yanayouza meno ya tembo yakiwa ghafi au vipande vya meno ya tembo yakiwa...

Siasa Duni Na Sehemu Zenye Migogoro Ya Vita Vimechangia Sana Kuongezeka Kwa Vitendo Vya Ujangili Wa Wanyamapori Barani Afrika.

Bara la Afrika kwa miaka mingi limekuwa likikabiliwa na changamoto kubwa sana kuhusiana na masuala ya kisiasa ambayo yanalegalega sana. Kutokana na kukosekana kwa...

Zijue Siri Nane (8) Zinazoifanya Tanzania Kuwa Miongoni Mwa Nchi Tajiri Duniani Kwa Maliasili Hasa Wanyamapori.

Ashukuriwe Maanani kwa kuitunuku nchi yetu Tanzania, Maliasili nyingi kama madini, vyanzo vya maji, misitu na wanyamapori wa aina tofauti tofauti. Upande wa wanyama...
spot_img