Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Mfahamu Kwa Kina Maisha Ya Kiumbe Asiye Na Kidole Gumba

MBEGA Neno Mbega ( Colubus) limetokana na neno la Kigiriki likiwa na maana mnyama jamii ya nyani mwenye vidole vinne pasipokuwa na kidole gumba. Mbega weupe...

Kukosekana Kwa Ujuzi, Ushirikiano, Mafunzo Na Vitendea Kazi Kumechangia Sana Maisha ya Askari Na Wanyamapori Kuwa Hatarini Kila Mara

Ili kupambana na ujangili ni vizuri vitengo vyote vinavyopambana na ujangili kama vile vikosi vya kuthibiti ujangili au kwa kingereza wanasema “antipoaching units” vikapata...

Ijue Milango Ya Usafirishaji Haramu Wa Meno Ya Tembo Katika Afrika Mashariki

Biashara haramu ya meno ya tembo imeonyesha kukua na kushika kasi kubwa tangu mwaka 2007. Shughuli zote za ujangili na biashara haramu ya meno...

Mauaji Ya Kutisha Ya Tembo Wa Afrika, Hivi Ndio Visababishi Vya Ujangili

Kwa miaka saba iliyopita tumeshuhudia kupungua sana kwa idadi ya tembo wa Afrika kutokana na ujangili hasa katika eneo la Kusini mwa bara hili....

Hili Ndio Janga Baya Zaidi Kuliko Ujangili Wa Tembo

Tembo wanapatikana katika maeneo ya Kusini mwa Jangwa la Sahara hasa maeneo yenye misitu ya maji, savanna, na maeneo ya jangwa. Mara kwa mara...

Fahamu Umuhimu Wa Mahusiano Chanya Baina Ya Ndege Na Wanyama Wa Porini.

Ndege ni moja wa viumbe hai ambao hutofautiana na  wanyama wengine kwa sifa zifuatazo; umiliki ama uwepo wa  mabawa yanayomwezesha kuruka angani vile vile...
spot_img