Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Fahamu Jinsi Shughuli Za Binadamu Zilivyoharibu Makazi Ya Chura Anayezaa Nchini Tanzania

Korongo la Kihansi linapatikana ndani ya hifadhi ya milima ya hifadhi ya Taifa Udzungwa upande wa mashariki . Korongo hili linasifika kwa wembamba na...

Ona Ujangili Ulivyoathiri Idadi Ya Tembo Barani Afrika.

Kati ya miaka ya 1970 na 1990 maelfu kwa maelfu ya tembo waliuwawa kwa ajili ya meno yao na kuacha idadi ndogo sana ya...

Mimi Sehemu Yangu Ni Nini Katika Hili?

Dunia tuliyo nayo sasa imepitia vipindi mbali mbali ambavyo vimeacha alama kwenye maisha ya viumbe hai walopo ndani yake. Tangu historia ianze kundikwa kuhusu...

Mambo Muhimu Tisa (9) Tunayopaswa Kuyajua Na Kuyafanyia Kazi Katika Uhifadhi Wa Wanyamapori Na Maliasili Nyingine Kwa Mwaka 2019.

Kila siku kuna vitu tunafanya ikiwa ni njia mojawapo ya kujipatia mahitaji ya kila siku kutoka kwenye mazingira yetu mfano matunda, chakula na mara...

Salamu Za Mwaka 2019; Shukrani Kwa Wasomaji Na Wale Tuliofanya Kazi Pamoja Mwaka 2018.

Habari ndugu msomaji wa makala zetu za utalii na uhifadhi wa wanyamapori na mazingira yake. Naamini umekuwa na mapumziko mazuri ya vipindi vyote vya...

Mambo Nane (8) Usiyoyajua Kuhusu Tembo Wa Afrika

Tembo wa Afrika (Loxodonta Africana), ndiye mnyama mkubwa kuliko wote waishio nchi kavu. Mnyama huyu ni jamii ya wanyama walao majani (herbivores). Tembo hawa...
spot_img