Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Mwaka 2018 Usiishe Hujafanya Jambo Hili Muhimu Katika Maisha Yako!

Habari ndugu msomaji wa makala za uhifadhi wa wanyamapori na utalii, karibu tena leo kwenye makala muhimu sana ambayo nimepanga kukuandikia mambo muhimu yatakayokufanya...

Kuhusu LEO KATIKA UHIFADHI; Kutana Na Mhifadhi Leena, Akilia Madhara Yanayoletwa Na Ujangili Wa Wanyamapori

Ujangili ni kitendo cha uwindaji haramu usio na kibali chochote chini ya mamlaka husika za wanyama pori. Mfano nchi yetu imebarikiwa sana wanyamapori pamoja na...

Idadi Kubwa Ya Kanivora Katika Eneo La Ruaha, Ukosefu Wa Taarifa Za Kitafiti Kunavyozuia Kuweka Mipango Bora Ya Uhifadhi.

Mandhari ya hifadhi ya Ruaha ni sehemu muhimu sana inayopewa kipaumbele kimataifa kwa ajili ya uwepo wa kanivora wakubwa, katika sehemu hii muhimu inakadiriwa...

Kwanini Tuhifadhi Wanyamapori Na Mazingira Yake Asilia?

Uhifadhi wa wanyamapori na mazingira asilia, unagusa mambo mengi na maeneo mengi, hata hivyo serikali ya Tanzania imejitahidi sana kutenga maeneo ya kutosha kwa...

LEO KATIKA UHIFADHI; Kutana Na Muhifadhi Lucy Na Kauli Mbiu yake, “Nisipohifadhi Wanyamapori Sioni Utu Wangu”

Wapendwa wasomaji wa makala za wanyamapori na maliasili kiujumla, ninayo furaha isiyokifani kuwashirikisha hisia nilizonazo kuhusu uhifadhi wanyamapori zinazonipelekea kusema “NISIPOHIFADHI WANYAMAPORI SIONI UTU...

Zifahamu Hatua Kumi Na Mbili (12) Zilizopendekezwa Kuchukuliwa Katika Uhifadhi Wa Kakakuona

Habari Rafiki yangu, naamini umekuwa na siku nzuri naya kipeke sana, leo katika makala ya wanyamapori nimetamani nikushirikishe mambo muhimu 18 ambayo yalipendekezwa na...
spot_img