Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Bado Kazi Kubwa Inahitajika Ili Kuleta Matokeo Chanya Kwenye Maeneo Ya Hifadhi Ya Jamii (WMAs)

Habari ndugu msomaji wa makala za Wildlife Tanzania, karibu kwenye makala ya leo ambayo tunazungumzia kazi kubwa inayohitajika ili kuweka mtazamo chanya wenye matokeo...

Jamii Itaendelea Kuthamini, Kuheshimu Na Kulinda Kile Kinachowaletea Faida

Habari msomaji wa mtandao wetu wa Wildlife Tanzania, karibu kwenye makala ya leo ambayo tutatafakari kwa pamoja kuhusu thamani ya kitu ambacho kipo kwenye...

Uanzishwaji Wa Maeneo Ya Hifadhi ya Jamii (Wildlife Management Areas) Umesaidia Sana Kuinua Uelewa Wa Jamii Kuhusu Na Maliasili Na Uhifadhi Wake.

Tangu wakati wa ukoloni jamii ilizuiliwa kisheria kutumia wanyamapori na haki ya kutumia wanyamapori ilibakia mikononi mwa serikali. Kutokana na hali hii jamii ilijitoa...

Hizi Ndio Sababu Kuu Nne (4) Zinazochangia Kuongezeka Kwa Gharama Za Uhifadhi Wa Maliasili Zetu

Kwa kadri tunavyoendelea mbele na maisha kwenye kila eneo gharama zinaongezeka na hii ni kutokakna na sababu nyingi ambazo zinatulazimu kufanya hivyo. Kimsingi kuna...

Barua Ya Wazi 8; Nawawatakia Kheri Ya Krismasi Wahifadhi Na Wasomaji Wetu Wa Masuala Ya Maliasili

Habari msomaji wa makala za wildlife Tanzania, karibu kwenye makala ya leo, ni makala ambayo nimepanga kukushukuru na kukutakia kila la kheri kwenye mapumziko...

Kwenye Siasa Maamuzi Yao Mengi Ni Miaka Mitano Mitano Na Miaka Kumi Kumi, Tafadhali Sana Msilete Maamuzi Ya Namna Hii Kwenye Uhifadhi Wa Maliasili...

Siku zote maisha yataendelea kuwa magumu sio kwa sababu maisha yamepangwa kuwa magumu kwa mwanadamu la hasha, bali ni kwa sababu binadamu ndiye anayeyafanya...
spot_img