Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Ifahamu Hifadhi Ya Jamii Ya Ipole (IPOLE Wildlife Management Area)

Habari rafiki, karibu kwenye makala yetu ya leo ambayo tutakwenda kujifunza na kuijua Hifadhi ya Eneo la wanyamapori la Pole.  Katika kujifunza na kufuatilia...

Jifunze Safarini

Siku zote katika kujifunza njia mbali mbali hutumika, ikiwemo ya kuingia darasani na kujifunza au kwenda kujifunza kwa watu wengine na njia nyingine ya...

Tusiisuse Wala Kuikatia Tamaa Tanzania

Kila kukicha kunakuwa na habari mpya, matukio na mambo yanayofanyika wakati mwingine mtu anapoyasikia na kuyaona anaona hakuna tena tumaini la kuishi hapa duniani,...

Ungana Na Wildlife Tanzania Kwenye Ukurasa Wa Facebook

Habari ndugu zangu Watanzania, Nawashukuru kwa kusoma na kuwa wapenzi wa mambo yote yanayohusu Wanyamapori, Utalii, na mambo ya Kale. Napenda kuchukua nafasi hii...

Talii Nyumbani

Habari ndugu zangu Watanzania, hongera kwa kupata siku ya leo tena, katika siku chache za nyuma nilipata tangazo moja zuri sana ambalo lilinifikirisha na...

Barua 1: Utunzaji Wa Mazingira Ni Jukumu Langu

Habari msomaji wa Wildlife Tanzania karibu kwenye makala ya leo, kama nilivyowahi kukuandikia kwenye makala za nyuma kwamba kila Jumapili nitakuwa naandika barua, na...
spot_img