Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Hili Ndilo Jambo Muhimu Sana Kwa wafanyakazi Wote Wa Sekta Ya Wanyamapori

Habari msomaji wa makala hizi za wildlife Tanzania, karibu tena siku ya leo tjifunze jambo muhimu ili kuendeleza na kufanya kazi zetu kwa weledi...

Mitazamo Na Imani Za Watu Wengi Kwenye Jamii Zetu Sio Rafiki Kwa Wanyamapori Na Viumbe Hai Wanaoishi Karibu Na Makazi Yetu.

Habari rafiki yangu, karibu kwenye makala yetu ya leo ambayo tunaangalia mambo mbali mbali kwenye eneo hilli la uhifadhi wa wanyamapori. Leo tunaangali jinsi...

Tuna Wahitaji Watu Wenye Sifa Hizi Kufanya Kazi Kwenye Sekta Ya Maliasili na Utalii

Habari msomaji wa makala za blog yako ya wildlife Tanzania, naamini umekuwa na wakati mzuri kwa sherehe za Sabasaba zilizopita. Karibu kwenye  makala yetu...

Sababu Saba (7) Zinazoifanya Hifadhi Ya Taifa Ya Kilimanjaro Kuwa Hifadhi Ya Kipekee Zaidi Duniani.

Habari msomaji wangu, karibu tena kwenye somo letu la kujifunza na kupata ufahamu kuhusu hifadhi za Taifa ambazo zinapatikana Tanzania, na leo tunaenda kuangalia...

Mizoga Nje Ya Hifadhi Isipochomwa Inaweza Kusabaisha Vifo Zaidi ya 1000 kwa Wanyamapori Wanaokula Nyama

Habari rafiki, karibu kwenye makala yetu ya leo ambapo tunaangalia mambo kadha wa kadha ambayo yanatokea katika maeneo yetu na maeneo ya wanyamapori yanavyoweza...

Hasira, Visasi, Ujinga, Na Tamaduni zilizopitwa Na Wakati Ni Tishio Kwa Uhifadhi Wa Wanyamapori

Habari msomaji wa makala za blog yako ya Wildlife Tanzania, naamini unaendelea vizuri kabisa na sghughuli zako za kila siku ili kujenga maisha yako...
spot_img