Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

Somo la Vipande 12 vya Nyama ya Swala na Sheria za Uhifadhi

  Moja ya kesi iliyotikisa mkoa wa Iringa na Tanzania kwa ujumla ni kesi ya mama Maria Ngoda, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 22 baada ya...

Siku ya Kakakuona Duniani; Ujumbe Muhimu kwa Jamii

Kila tarehe 17 Februari, dunia inashangilia siku ya kakakuona duniani. Lengo la kuweka siku hii ni kutukumbusha umuhimu wa wanyama hawa na wajibu wetu...

Mila na Desturi za Kabila la Wahaya Zinavyochangia Katika Uhifadhi wa Wanyamapori na Mazingira Yao

Historia ya uhifadhi wa wanyamapori na mazingira yake imeandikwa sana kuanzia kipindi cha ukoloni ambapo Tanganyika ilikuwa  ikitawaliwa na mjerumani  na baadaye mwingereza. Katika...

Taaluma ya Udakitari wa Wanyamapori Ilivyo Muhimu Kwenye Uhifadhi

Miaka ya hivi karibuni milipuko ya magonjwa yanayotokana na wanyamapori imekua ikiongezeka kwa kasi, Magonjwa haya yamekua yakiathiri wanyamapori pamoja na binadamu. Wanyamapori wengi...

Kheri ya Mwaka Mpya 2024 Wasomaji wa Wildlife Tanzania

Habari ndugu wasomaji wa makala za blogu yetu ya WILDLIFE TANZANIA. Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru kwa kuwa wasomaji wazuri wa makala zetu tunazoandika kuhusu...

Spishi za Kakakuona wa Tanzania, na Mengi Usiyoyajua kuhusu Wanyama Hawa

Dunia imebarikiwa kuwa na wanyama na ndege wa aina nyingi, kuna warefu kama twiga, wanene kama kiboko, wakubwa kama tembo na nyangumi, wadogo kama...
spot_img