Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili kuleta matokeo halisi yanayosaidia katika kuweka mipango endelevu ya uhifadhi. Tafiti ni
Maoni
1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi yao 2.Simba waisha porini, hali sipobadilika Hatua tuchukueni, tusije
Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa mwitu Agosti kumi ya Simba, ni jukumu tuwatunze Simba ni
Karibu kwenye shairi linalohamasisha uhifadhi wa ndege aina ya Bundi. Shairi hili limendikwa na Dr. Raymondi Mgeni, maarufu kama Malenga wa Ubena, unaweza kusoma na kuwashirikisha wengine. Karibu! Zipo imani
Habari njema kwa wasomaji na wafuatiliaji wa mtandao wetu wa wildlife Tanzania. Tangu tuanze uandishi wa makala za wanyamapori mwaka 2017, hatujawahi kuwa na logo rasmi inayotutambulisha. Lakini sasa tunapenda
Habari wasomaji wetu wa makala za blog ya wildlife Tanzania. Tunamshukuru Mungu, tumevuka salama mwaka 2024. Sasa tupo mwaka 2025. Napenda kuwashukuru sana wasomaji wetu wote wa makala hizi. Napenda
Uzoefu kidogo nilio nao kwenye hifadhi za Kusini hasa Hifadhi ya Taifa Ya Ruaha umenifanya nishauri wanafunzi, waliimu na watalaamu wengine wanaotaka kufanya utafiti au mafunzo kwa vitendo kwenye maeneo







