Ikolojia

Mimea Dawa na Misitu Ilivyo Muhimu kwa Maisha ya Sasa na Baadaye

Siku ya wanyamapori duniani inatukumbusha kutafakari namna tunavyoishi na mazingira yanayotuzunguka. Mazingira kama misitu, miti, maji, hali ya hewa, wanyama na wadudu. Hivyo siku ya wanyamapori duniani inatupa nafasi kutafakari...

Safari ya Hillary Thomas Mrosso Katika Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania

Wakati nasoma elimu ya msingi na sekondari, nilikuwa na ndoto za kuwa daktari wa binadamu, hivyo nilipenda sana...

Zijue Sababu za TAWIRI Kukataa Matokeo ya Utafiti wa Duporge na Wenzake Kuhusu Idadi ya Nyumbu Katika Eneo la Serengeti – Masai Mara,...

Uhifadhi endelevu wa wanyamapori unahitaji tafiti za kina za mara kwa mara kwa kutumia mbinu sahihi zilizohakikiwa ili...

SHAIRI: Tutunze Makazi ya Simba

1.Ndugu zangu karibuni, nina jambo kutamka Simba wapo hatarini, majangili wawasaka Waharibu masikani, kuvuka yao mipaka Simba wanayo thamani, tutunze makazi...

Shairi: Agosti kumi ya Simba

Leo twendeni mbugani, utalii mbuga zetu Huko leo kuna nini, nataka ninene kitu Leo huko duniani, siku ya bingwa wa...
spot_img

ZIFAHAMU SABABU ZINAZOHATARISHA MAISHA YA PAPA-POTWE WA KISIWA CHA MAFIA

Kisiwa cha Mafia kinachopatikana Tanzania ni miongoni mwa visiwa maarufu sana duniani. Kisiwa hiki chenye ukubwa wa kilometa za mraba 435, kimekuwa maarufu sio...

Fahamu Mengi Kuhusu Swala Aliye Hatarini Zaidi Kutoweka Tanzania.

Ni siku nyingine tena wasomaji na wadau wa makala hizi za wanyuamapori bila kuwasahau wahifadhi na mamlaka zote za uhifadhi wa wanyamapori hapa nchini....

Yafahamu Mambo Nyeti Kuhusu Maisha Ya Mnyama Simba

Habari wadau wa makala hizi za wanyamapori, jamii na wahifadhi kwa ujumla. Kwa mara nyingine tena leo nawaletea makala kuhusu wanyamapori kama ilivyo ada...

Yafahamu Mambo Ya Kushangaza Kuhusu Mamba (Nile Crocodile)

Habari za siku nyingi ndugu msomaji wa makala hizi za wanyamapori. Ni muda mrefu kidogo sasa umepita tangu nitume Makala kwa mara ya mwisho...

Fahamu Kwanini Uhifadhi ni Jukumu Takatifu la Kila Mwanadamu Hapa Duniani

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Baadaye Mungu aliendelea kuumba vitu vingine ikiwemo wanyama wa mwituni kwa jinsi yake na wanyama wa kufugwa...

Umuhimu wa Vichuguu Katika Mifumo Mbalimbali ya Ikolojia ya Uhifadhi wa Wanyamapori.

Mchwa ni jamii ya wadudu ambao huishi kwa kujenga viota ardhini, kwenye miti, kuta za nyumba na magogo ya miti. Mchwa ni wadudu ambao...
spot_img